Tangazo

November 19, 2015

MAHAFALI YA 45 YA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM

 Brass Band ikiongoza msafara wa maandamano ya Mahafali ya 45 ya chuo Kikuu cha Dar es Salaam, (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
 Maprofesa na Wahadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam wakiwa katika Maandamano ya Mahafali ya 45 ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, wakwanza kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), Profesa Lawrence Museru.
 Wananchi wakipata matukio wakati msafara wa Maandamano ya wahitimu walipokuwa wakipita mbele yao.

No comments: