Meneja
wa huduma kwa jamii wa Airtel, Hawa Bayumi (kulia), akiongea na wawakilishi wa
vituo vitatu vya watoto yatima baada ya kukakabidhi msaada wa vyakula
mbalimbali vya mfungo wa Ramadhani kwa wawakilishi wa vituo vya kulelea watoto
waliokatika mazingira magumu. Vituo vilivyopata msaada huo ni pamoja na
Almadina cha Tandale, Dogodogo cha Kigogo na Hisani cha Mbaga wakishuhudiwa na
baadhi ya watoto waishio katika vituo hivyo, katika hafla fupi iliyofanyika jijini
Dar es Salaam jana. Airtel kupitia mpango wake wa huduma kwa jamii imeanza
kutoa futari kwa vituo mbali mbali hapa nchini.
|
No comments:
Post a Comment