Tangazo

May 26, 2015

BENKI YA CRDB YAKABIDHI HUNDI YA SH. MILIONI 20 KWA MEYA WA KINONDONI

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akisaini kitabu cha wageni alipowasili ofisini kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda, (katikati). Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa. 
  Meya wa Manispaaya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei muda mufupi kabla hajakabidhi hundi ya sh. milioni 20 baada ya meya huyo kupata tuzo ya Meya Bora Afrika iliyotolewa na Rais Jose Eduardo do Santos wa Angola.
   Meya wa Manispaaya Kinondoni, Yusuf Mwenda (kushoto) akiambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
 Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma kwa Wateja, Tully Mwambapa akizungumza katika hafla hiyo.
Meya wa Kinondoni, Yusuf Mwenda akiwa na Mkurugenzi wa Manispaa hiyo, Mussa Natty. 
 Dk. Charles Kimei akizungumza katika hafla ya kukabidhi hundi.
  Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akimkabidhi hundi ya sh. milioni 20 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda zilizotolewa na benki hiyo baada ya  meya huyo kupata tuzo ya Meya Bora Afrika iliyotolewa na Rais Jose Eduardo do Santos wa Angola. Hafla hiyo ilifanyika leo jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Meya, Songoro Mnyonge.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akimkabidhi hundi ya sh. milioni 20 Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda zilizotolewa na benki hiyo baada ya  meya huyo kupata tuzo ya Meya Bora Afrika iliyotolewa na Rais Jose Eduardo do Santos wa Angola. Hafla hiyo ilifanyika jijini Dar es Salaam.
 Meya wa Kinondoni Yusuf Mwenda akitoa shukrani zake kwa uongozi wa Benki ya CRDB kwa kutambua juhudi wanazofanya katika utendaji kazi na masuala ya usafi na ukusanyaji wa mapato.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles kimei akizungumza katika hafla hiyo.
 Meya wa Kinondoni Yusuf Mwenda akimsikiliza kwa makini Mkurugenzi wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.
 Picha ya pamoja.
 Dk. Charles Kimei akimpongeza Meya wa Kinondoni kwa tuzo aliyopata.
 Picha ya pamoja.
 Dk. Charles Kimei akiambatana na Meya wa Kinondoni, Yusuf Mwenda (kushoto) na Naibu Meya, Songoro Mnyonge.
 Dk. Kimei akibadilishana mawazo na Meya wa Kinondoni.
Meya wa Kinondoni, Yusuf Mwenda akiagana na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei.

No comments: