Tangazo

August 20, 2014

Airtel yawafikishia Wanakijiji wa Sigunga Kigoma huduma za mawasiliano

Timu ya Airtel wakiongozwa na Meneja wa Biashara wa Kanda, Emanuel Rafael mara baada ya uzinduzi wa mnara wa kampuni ya mawasiliano ya Airtel katika kijiji cha Sigunga wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma jana.
Mkuu wa wilaya ya Uvinza Khadija Nyembo (katikati), kabla ya kuzungumza na wananchi wakati wa uzinduzi huo.
Kikundi cha Ngoma za Utamaduni kikiburudisha wananchi wakati wa hafla ya  uzinduzi wa mnara wa Airtel katika Kijiji cha Sigunga  wilaya ya Uvinza mkoani  Kigoma mwishoni mwa wiki.

XXXXXXXXXXXXXXXXX

·  Yazindua mnara wa mawasiliano katika kijiji cha Sigunga mkoani Kigoma, wanakijiji Kunufaidika na huduma za mawasiliano ya simu za mkononi toka Airtel

Kampuni ya simu ya mkononi ya Airtel leo imezindua rasmi huduma za mawasiliano katika kijiji cha Sigunga wilaya ya  Uvinza mkoani Kigoma

Uzinduzi huo unafatia jitihada za kampuni ya Airtel kuendelea kuboresha mawasiliano ya huduma za simu za mkononi katika maeneo mbalimbali nchini husasani katika maeneo ya vijijini huku lengo likiwa ni kuzifikia jamii zinayoishi pembezoni mwa nchi huduma bora ya Airtel Money.

Akiongea wakati wa uzinduzi wa huduma za mawasiliano Sigunga,  Meneja Mauzo kanda ya Ziwa bwana Raphael Daudi alisema “ Airtel inatambua adha wanayoipata wakazi wa kijiji cha Sigunga na maeneo ya jirani katika kupata huduma za mawasiliano kwa muda mrefu sasa,  hivyo tumeonelea ni vyema basi tukachukua hatua ya kuboresha huduma hizi muhimu kwa kuwafikishia wanakijiji hawa  mawasiliano yatakayowawezesha kufanya shughuli zao za kila siku kwa ufanisi zaidi

Kupitia mnara huu sasa tunaweza kuwaunganisha wanakijiji hawa na maeneo mengine ya nchi, tutawawezesha kupata masoko ya kuuza biashara zao kwa urahisi, tumewawezesha kupata huduma za kifedha kupitia huduma yetu ya Airtel Money ambapo sasa wataweza kupokea na kutuma pesa kwa ndugu jamaa na marafiki pia kupokea malipo ya biashara zao na kuweza kufanya malipo mbalimbali ya huduma muhimu wakiwa majumbani mwao. Sambamba na hilo mawasiliano jijini hapa yamekuwa chachu ya maendeleo na ukuaji wa shughuli za kiuchumi kwa ujumla.

Kwa upande mkuu wa wilaya ya Uvinza Khadija Nyembo alisema” Tunawashukuru sana Airtel kwakutambua kwa vitendo umuhimu wa mawasiliano kwa kutufikishia mawasiliano kijijini hapa. Kupitia mawasiliano ya Airtel tumeweza kuboresha usalama wa raia na mali zao, kuwezesha kufanyika kwa  shughuli za kiuchumi kiufani , wakulima sasa wanauhakika wa kupata masoko na kupata malipo kwa kupitia simu ya mkonono.  sambamba na hilo mawasiliano hayo yamewezesha huduma muhimu za  kijamii kuboreshwa zaidi.

Natoa wito kwa wakazi wa Sigunga Na vijiji vya jirani kutumia mawasiliano haya katika kukuza uchumi wao na wa jamii kwa ujumla.

Wakiongea kwa wakati tofauti wakazi wa Sigunga wameishukuru Airtel kwa kuwafikishia  mawasiliano hayo nakusema , tumekuwa na adha kubwa ya huduma za simu kabla ya mawasiliano haya kufikishwa kijijini hapa lakini kwa sasa kero hiyo imekwisha kabisa hivyo tunaipongeza sana kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kwa juhudi zao.
 xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Airtel Provides communication Services to residents of Sigunga, Kigoma

· Launches a communication tower at Sigunga area in Kigoma. Residents to enjoy ranges of products and services from Airtel

Airtel Tanzania has officilally unveiled communication services at Sigunga Village in Uvinza district Kigoma today.

The launch is a continuation of Airtel’s efforts to develop communication services in various areas of the country particularly rural areas so as to reach societies living on the country’s subdued regions.

“Airtel has identified the hassle caused due to the lack of communication facilities at Sigunga residents and neighboring areas for a long time.  We have taken the responsibility to facilitate communication service in order to improve these vital conveniences to the people of Sigunga village and enable them to engage in their daily activities with more efficiency”, said Mr. Raphael Daudi, Lake Zone sales manager at the launch event.

Additionally Daudi said, “Through this communication tower, we can connect Sigunga residents to the world, enable them to easily obtain markets for their businesses and give them access to financial service through Airtel Money service, send and receive money from family and friends. Moreover, they can make payments for business and household requirements at their home comfort.”

On her part Uvinza district commissioner Khadija Nyembo said, “We thank Airtel for providing us with telecommunication services here in Sigunga. We have witnessed significant improvement in the social services through Airtel communication services. Now security for residents and their assets has being improved, economic activities will be performed effectively, farmers will now be able to market their products, receive information, sell their products and receive payments through their cellular phones. . Furthermore these amenities will greatly improve social services.”

“I call upon Sigunga residents and neighboring villages to use these services for the growth of their economies and the society as a whole.” Added Nyembo.

Speaking at different periods, Sigunga residents have thanked Airtel for providing these services, stating that the lack of communication has been a big nuisance before the introduction of the facilities, but now such trouble has been ended, and we congratulate Airtel Telecommunications Company for their efforts.

 end

No comments: